Hivi nyie mliooa mnatuonaje siye ambao hatujaoa?

Hivi nyie mliooa mnatuonaje siye ambao hatujaoa?

Redpanther

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
2,823
Reaction score
3,816
Habari za wakati huu wanaJF wenzangu, ni matumaini yangu mko salama kabisa ndugu zangu. Acha niende kwenye maada moja kwa moja.

Eeeh Bhana kuna mshikaji mmoja alikuwa anamla Manzi fulani hapa mtaani na bahati nzuri au Mbaya yule demu akashika ujauzito so ikabidi wasogezane waanze kuishi pamoja na juzi juzi wamebariki ndoa yao baada ya demu wake kujifungua.

Jamaa baada ya muda kidogo tu ameshaanza kutuhubiria vijana etii oooh ni “Dhambi kushiriki tendo la ndoa na mwanamke ambaye hujamuoa”

Ili hali yeye, Namjua alikua kitombi sawa sawa alfu anaenda mbali kutuharibia mitego yetu [emoji28]. Jamaa anaandika kwenye status..”Mwanaume anayekupenda hakuombi sex na wala hawezi thubutu kukugusa ngozi yako” Serious? Baada ya kuvuru wadada za watu leo unageuka Chri Mauki ilikuwa Kidogo nimuulize.

Niwaulize tena nyie mliooa au kuolewa, mnatuonaje sisi ambao hatujaoa bado? Yaani mnatuonaje onaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshikaji wako snitch
Washikaji zangu walioa tunakula nao Bata kimya kimya show za kibabe tunakula nao lomoni na kupiga mademu ila tumekaa tu kWa password

Kweli mkuu, yaani anapataje guts za kuanza kukemea mambo ambayo yeye alikuwa Mastermind
 
Huyo rafiki yako ana mambo ya kimama asilimia kubwa wanaume tunafichiana mambo.Huyo naona anaweza akauza hata siri za kambi[emoji1787][emoji1787]
 
mpe muda, hizo status hautaziona tena. Ndoa changa huwa ina mbwembwe sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Sana yaani, alfu mimi wananikera ni basi tu. Kuna jamaa mmoja ni Daktari daah, Yaani kila siku iendayo kwa mungu anatuwekea Picha za Harusi na kumsifu kwingi Mke wake [emoji16][emoji16].
 
Back
Top Bottom