Hivi nyie mnaowa follow wasanii waliokufa huwa mnatakaga nini?

Hivi nyie mnaowa follow wasanii waliokufa huwa mnatakaga nini?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Nimefikiria nimefikiriaaa nimekosa jibu. Kuna hawa watu hasa wa instagram wakipata tu habari ya mtu maarufu au msanii amekufa wanaanza kufollow account yake ya instagram.

Hivi hua mnawatakia nini marehemu? Unajua kabisa amekufa hata ukimfollow inakuwa haina maana tena, hatopost tena na hata akipost anakuwa si yeye aliepost.

Wakati yupo hai hamjamfollow baada ya kupata habari ya kifo chake ndo mnaenda kumfollow 🙄 watu wengine mnakuwaga kama wachawi vile, wachawi msiokua na vitendea kazi. Mkipewa ungo na tunguli lazima mpae usiku nyie sio watu wazuri kabisa!!
 
Nimefikiria nimefikiriaaa nimekosa jibu. Kuna hawa watu hasa wa instagram wakipata tu habari ya mtu maarufu au msanii amekufa wanaanza kufollow account yake ya instagram.

Hivi hua mnawatakia nini marehemu? Unajua kabisa amekufa hata ukimfollow inakuwa haina maana tena, hatopost tena na hata akipost anakuwa si yeye aliepost.

Wakati yupo hai hamjamfollow baada ya kupata habari ya kifo chake ndo mnaenda kumfollow 🙄 watu wengine mnakuwaga kama wachawi vile, wachawi msiokua na vitendea kazi. Mkipewa ungo na tunguli lazima mpae usiku nyie sio watu wazuri kabisa!!
Utapendwa sana ukifa au hujui mkuu.
 
Mitandao ya kijamii Tanzania inatumiwa tofauti na nchi nyingine zote duniani huko YouTube watu wana comment vitu vya ajabu kwenye nyimbo za marehemu tena za miaka 10 iliyopita.
 
Back
Top Bottom