Tetesi: Hivi nyie police ukerewe...Nansio mmelogwa au?

Tetesi: Hivi nyie police ukerewe...Nansio mmelogwa au?

mfungwa

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2015
Posts
1,291
Reaction score
342
Jana jioni kwenye kivuko cha Meli ya Nyehunge, Nansio, askari police Traffic walikuwa kama watatu wakiangalia magari yakiingia na kutoka kwenye kivuko. Cha kushangaza ikaja gari kubwa ya mizigo inayoingia ndani ya meli. Gari hiyo inarudi nyuma nyuma. Kibaya HAINA SAITI MIRA HATA MOJA. Bali jicho la dreva tu. Wafanyakazi wa meli wanaiangalia ikiingia kuchukua vifaa kinyume nyume huku abiria wakitoka ndani ya meli.
Kazi ipo.
 
Jina lako linakufaa kweli maana umefungwa akili. Sasa mada mbona haieleweki. Unacholaumu ni nini hasa, jioni magari yanaingia melini kuelekea wapi?? Hiyo meli inasafiri usiku? Kumbe tabia za wakerewe hadi humu mnazileta??
 
Back
Top Bottom