Hivi nyie stanbic bank mbona cwaelewi???

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Kiu yangu kubwa ya kujiunga na hii bank ilikuwa ni kupata mkopo, yapata zaidi ya miezi sita sasa toka wamesitisha huduma yao ya mikopo, service fees yao ya kila mwezi ni kubwa ile mbaya, kila nikienda kuwauliza kuhusu huduma yao ya mikopo itaendelea lini wamekuwa watu wakunipa sound tuuuu, kabla cjachukua maamuzi magumu ya kuhama hiyo bank mwenye detais zao kama watatoa huo mpunga au ndo hakunaga tena??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…