Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?

ndo maana mimi najifunza hapa niwe namfanyia demu wangu asiwe anaonesha uchi wengine maana wanawake ukichelewa tuu uchi wake hauna dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…