figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Heshima yenu wakuu.
Mimi nmechunguza sana tabia za hawa wakina mama wa kitanzania, hawapendi kujulikana kama wamezaa. unakuta hata akitaka kutoka hawezi kubeba mwanae sana sana atambebesha housegirl huku akimtukana matusi na kumpiga juu..(tembea haraka alaa...).
Unakuta wiki nzima yupo kazini,hata zile siku anazokua nyumbani hataki kukaa na mwanae.
Mwingine unakuta hataki kumnyonyesha mtoto eti kisa matiti yake yatalala. so mtoto anashindia maziwa ya ng'ombe na kulalia maziwa ya ng'ombe. sijajua kwanini wanakuwa na roho za namna hii.
Mwingine una mtongoza, ukimuuliza una mtoto atakujibu sina mtoto wakati ana mtoto mkubwa tu. baadae ukishagundua ana mtoto ukimuuliza anajibu nlikuwa nakutania tu.
BADILIKENI BANA. Ni hayo tu, sahani kwa kukukwaza. Mia
Mimi nmechunguza sana tabia za hawa wakina mama wa kitanzania, hawapendi kujulikana kama wamezaa. unakuta hata akitaka kutoka hawezi kubeba mwanae sana sana atambebesha housegirl huku akimtukana matusi na kumpiga juu..(tembea haraka alaa...).
Unakuta wiki nzima yupo kazini,hata zile siku anazokua nyumbani hataki kukaa na mwanae.
Mwingine unakuta hataki kumnyonyesha mtoto eti kisa matiti yake yatalala. so mtoto anashindia maziwa ya ng'ombe na kulalia maziwa ya ng'ombe. sijajua kwanini wanakuwa na roho za namna hii.
Mwingine una mtongoza, ukimuuliza una mtoto atakujibu sina mtoto wakati ana mtoto mkubwa tu. baadae ukishagundua ana mtoto ukimuuliza anajibu nlikuwa nakutania tu.
BADILIKENI BANA. Ni hayo tu, sahani kwa kukukwaza. Mia