Kuna wengine hawavai kwa kuwa imani zao za kidini zinakataza kuvaa pete. Wengine hawavai kwa sababu ya kuwa allergic na metals.
Aisay mambo ya kusema hawana watoto, hata wanaume wengine wanasema.
Hayo ya kunyonyesha ndo yananiwacha hoi, mtoto akimnyonya maziwa anasema yatangusha maziwa yake, lakini mme wake akiyanyonya wakati wana sex, hasemi vile.
sijawahi kusikia mtu mwenye allergy na dhahabu au silver. nyie ndio wale wale, msotaka kujulikana mko committed.
mkuu sio muda utakimbizwa ICU kwa kichaopo kwa uzi huu mana nimepishana nao njiani wanakuja kwa hasira hukooo
Umewaona wamama tu? Na nyie mnavyokana mimba zenu mnakuwa mnategemea nini? Na kwa taarifa yako mwanamke anayeujua uchungu hawezi kumkana mwanae hata siku moja.
Kumbe wapo w'ke wa aina hio enhee! Hii kali!
Mi najivunia sn kusema nna wtt wawili, 10 and 4.
Tena basi nkimuonesha mtu wtt wangu hata haamini.
Nna 35, lkn kila siku nabishiwa kuwa hio miaka sijaifikia, wanadhani labda nna 25-27.
Maziwa kuanguka wala hayanikeri, madhali mashine ya downstairs inafanyakai tn according na maelezo ya my honey ndo imezidi utam haswa.
Hv ni kwa nini pia wanaume waliooa hawapendi kuvaa pete za ndoa ? Wanawake hawapendi kuonekana wamezaa na wanaume hawapendi kuonekana wameoa. Hapo ngoma droo.
Umewaona wamama tu? Na nyie mnavyokana mimba zenu mnakuwa mnategemea nini? Na kwa taarifa yako mwanamke anayeujua uchungu hawezi kumkana mwanae hata siku moja.
Ikiwa hawapendi hata kuonekana kama matiti yameanguka itakua wapende kuonekana wamezaa ? Ndiyo msinibishie hampendi ! Kama sio kweli Sidiria za nani ? Achilia kitu kwenye uasilia wake bwanaa.
Kumbe wapo w'ke wa aina hio enhee! Hii kali!
Mi najivunia sn kusema nna wtt wawili, 10 and 4.
Tena basi nkimuonesha mtu wtt wangu hata haamini.
Nna 35, lkn kila siku nabishiwa kuwa hio miaka sijaifikia, wanadhani labda nna 25-27.
Maziwa kuanguka wala hayanikeri, madhali mashine ya downstairs inafanyakai tn according na maelezo ya my honey ndo imezidi utam haswa.
vipi kuhusu kunyonyesha na kubeba watoto wao? Mia