Hivi nyie wanawake mtaolewa na nani!?


ua so ver genious..big up to ua parents 4 raisin such a personality in u.
 
wanawake mbona wachache hao? waislam ni ruksa kuoa wanne. wakristo ni mabingwa wa nyumba ndogo.
usisahau wa Nigeria wameshatia timu hapa na Wanaoa na kuua at alarming rate.
 
Hesabu idadi ya wajane wako wengi sana so it means kila mtu anamwenzi wake. Ukihesabu wanawake utawaona wako weng ila weng wao ni wajane. Mungu wetu sio mjinga kuumba sex moja wawe wengi kuliko wengine. Otherwise hizo zote ni theory za kumkandamiza mwanamke ati wako weng ili tuwaowe wengi hakuna kitu kama hicho!
 
,kumpata mke wa kweli ni vigumu xana mst of galz thy r afta money n if ua money z over olc ua love z ova no money no honey
 

Nimeipendaje!
Wanaume wengine watata sana.Hawajiulizi inakuwaje wanawake walioolewa bado wanamendewa? Haya mambo ya kuoa au kuolewa hayana fomula maalum ni mambo ya moyoni zaidi.Mtoa mada kama unahofia dada zako au binti zako hawajaolewa..pole.
 
Wataolewa na wanaume au wanaume watakuwa wameisha kwa kuoana wenyewe kwa wenyewe?hiyo ni projection ukiigeuza in true fact bac tena
 
Nimeipendaje!
Wanaume wengine watata sana.Hawajiulizi inakuwaje wanawake walioolewa bado wanamendewa? Haya mambo ya kuoa au kuolewa hayana fomula maalum ni mambo ya moyoni zaidi.Mtoa mada kama unahofia dada zako au binti zako hawajaolewa..pole.

Yaani we acha tu, wanaume wooooote hao huku duniani yeye anauliza maswali ya ajabu kama ametoka usingizini, ati tutaolewa na nani. Haya, Wachina hao hawana wake wa kuwatosha na tayari wanajitwalia wake Afrika. Huo mfano mdogo tu, aulize zaidi tumwagie evidence. Ukiona hawajaolewa, hawajaamua na pengine hawajapata wanaowapenda.
 
Ndo sababu kuna small house, wanaume hawatoshi
 
Mkuu hapa kuna wabeijing kibao, halafu wana stress hao (watakumeza bure). Achana nao hawa we endelea zako kujimegea totoz tu huko kitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…