Hivi nyie watu ambao kutwa kubishania dini mnapata faida gani? Only fool and poor men can do that

Hivi nyie watu ambao kutwa kubishania dini mnapata faida gani? Only fool and poor men can do that

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Nimeamini kumbe wajinga ni wengi sana aisee na wala hauwezi kuona watu wanaojielewa wapo thread za kubishania dini na huu ndiyo mtaji mkubwa wa wanasiasa uchwara kwa sababu watu wanaojielewa wapo bize na constructive topic na sio hizi mada za kujimbwafai kwamba dini fulani ni mbaya na dini nyingine ni mzuri hauwezi kuona mtu kama@mshana na mtu kama Erythrocyte wapo kwenye mada za kijinga za kubishania dini

Masikini pekee ndiyo utawakuta wanabishania dini humu na sijui mnapata faida gani sijui na matajiri hawana muda kubishania dini wana muda kutafuta pesa ukiona wewe upo bize kubishania dini wewe ni masikini and my friend you will still be poor men!! CCM ina mtaji mkubwa sana na mtaendelea kuwa punching bag m....B....w....a....nyie
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-20-06-17-00-266_com.facebook.katana.jpg
    Screenshot_2024-11-20-06-17-00-266_com.facebook.katana.jpg
    444.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-11-20-06-16-47-653_com.facebook.katana.jpg
    Screenshot_2024-11-20-06-16-47-653_com.facebook.katana.jpg
    389.4 KB · Views: 4
Umeshasema "constructive topic" ...hapo hapo unasema kuongelea dini ni UJINGA,.. Asante,..kumbe mambo ya imani sio constructive 🤔🤔,..
 
Yanajenga nini?
hapo awali, yalikuwa yanaweza jenga hata chumba na sebure,...lakini kwasasa hata choo yanaweza jenga,..ni vile tu wewe unataka,.....just joke...🤣😂😂😂😂

ok,... mafanikio ya mtu huanzia katika IMANI ,...anaamini nini na ni thabiti kiasi gani, hata pale atakapopitia changamoto,...

Hoja yako nadhani ungeielekezea kwa wanatukana Dini za watu,....
 
Umesahau janga jipya la Simba na Yanga unakuta mtu mzima na wake zake watatu na wajukuu saba " Nyie Pacome ananikuna sanaaa Yanga hiii itaniua na kisukari wallah" shenzi
 
Nimeamini kumbe wajinga ni wengi sana aisee na wala hauwezi kuona watu wanaojielewa wapo thread za kubishania dini na huu ndiyo mtaji mkubwa wa wanasiasa uchwara kwa sababu watu wanaojielewa wapo bize na constructive topic na sio hizi mada za kujimbwafai kwamba dini fulani ni mbaya na dini nyingine ni mzuri hauwezi kuona mtu kama@mshana na mtu kama Erythrocyte wapo kwenye mada za kijinga za kubishania dini

Masikini pekee ndiyo utawakuta wanabishania dini humu na sijui mnapata faida gani sijui na matajiri hawana muda kubishania dini wana muda kutafuta pesa ukiona wewe upo bize kubishania dini wewe ni masikini and my friend you will still be poor men!! CCM ina mtaji mkubwa sana na mtaendelea kuwa punching bag m....B....w....a....nyie
Dini ni imani .. Imani ni kitu kisichohitaji ithibati za kisayansi..ukiona mtu anabishania imani huyo ni mpumbavu kaa naye mbali
 
Na wengine wanabishania makabila. Utasikia eti "mimi kabila langu zuri" hao nao viazi tu kama hawa unaowazungumzia mleta sledi. Adiof
 
Back
Top Bottom