Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Katika Katabia ambacho si kapendi Ni Haka kwa Baadhi ya Member wa Kiume humu Kutumia Id Za kike ...
Ebu Mtueleze kwanza Lengo Lenu Hasa ni Nini kwanii?
Hivi mnatofauti gani na kina kaoge ?
maana naona ndo mnakoelekea sasa Huku....
Ebu Mtueleze kwanza Lengo Lenu Hasa ni Nini kwanii?
Hivi mnatofauti gani na kina kaoge ?
maana naona ndo mnakoelekea sasa Huku....