Hivi Olympics mwaka huu tumepeleka wanamichezo wa 3 tu?

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,631
Nikiangaalia news Leo naibu wa wizara ya habari na michezo amewakabidhi wanariadha watatu waliofuzu kushiriki Olympics, Je hatuna michezo mingine inayotuwakilisha mwaka huu?

Kwa upande wa nchi jirani ya Kenya riadha waliofuzu ni 43 kwa riadha pekee tu huku wakipeleka timu zingine za michezo Kama za Rugby, volleyball, basketball etc.

Najiuliza tatizo liko wapi bongo? Taifa linakosa uwakilishi michezo mingine kama ngumi etc?



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata hamna mwenye habari. Nadhani ni hao tu
 
Harafu utashangaa viongozi watakao ambatana na timu ni 10 wakati wana michezo ni watatu tu!
 
Hii nchi imegeuza siasa mchezo hela zote wanakula wabunge na CCM zitatoka wapi za kujenga viwanja na vifaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…