Hivi pantoni ni Meli au si meli?

Hivi pantoni ni Meli au si meli?

Molleli

Senior Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
185
Reaction score
165
Kwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda🤣🤣 kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake.....

Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.
 
Kwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda[emoji1787][emoji1787] kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake..... Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.
Kwani Meli ni nini?
 
Hata hizi tunazoziita meli kuanzia ziwa victoria hadi kule bahari ya hindi nyingi ni FERRYBOAT.
Tanzania Cruise ship, merchant ship na warship ni chache mno hata vidole vya mkono wa kushoto ni vingi.
Ile tuliokuwa tunaita meli ya spice na skygic nilipoangalia CNN na al jazeera waliripoti ni TRAGEDY OF FERRYBOAT IN TANZANIA.
 
Kwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda[emoji1787][emoji1787] kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake..... Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.
Waambie sio meli bali ni daraja la umeme linalotumika kuvusha watu na mali zao kwenye maji ya ziwa au mto au bahari.


Vivuko hivi utaviona sehemu kadhaa kama

Mwanza
Geita
HoroHoro
Ferry Kigamboni
Mto Pangani

Na sehemu nyinginezo
 
Back
Top Bottom