Hivi pantoni ni Meli au si meli?

Pantoni ni kivuko - ‘moving bridge’ kinachotumika umbali mfupi kuvusha vitu/watu. Ni daraja linalotembea (mara nyingi kinatembea mbele au nyuma, hakihitaji kugeuka)

Meli ni kwa ajili ya masafa marefu na huwa ina ‘mbele’ na ‘nyuma’

Nifahamuvyo mimi, wataalamu wanaweza kufafanua zaidi
 
Hilo ni Daraja la kuvukia linaloelea.Panton na meli ni vitu viwili tofauti
 
Zile za Azam Marine zinazofanya safari za Dar na Zanzibar tunaziitaje?
 
eti unakuta unaambiwa meli imebeba watu 500,meli!!!!

mazafantaz.
moja likaja kushusha gari za dangote karibia gari 300,nikatamani niite watu waje waone meli sasa.
 
Pantoni ni pantoni tu,full stop.
 
eti unakuta unaambiwa meli imebeba watu 500,meli!!!!

mazafantaz.
moja likaja kushusha gari za dangote karibia gari 300,nikatamani niite watu waje waone meli sasa.
Ukisikia kitu inaitwa MELI either ni cruiseship, au ni warship au ni merchatship humo ndani unasafiri toka sehemu moja kwenda nyingine kwa LIFT, escalator au bodaboda au baiskeli.
Cruiseship ni kama ile ya Titanic ile ndo meli tena kwa ukubwa ile TITANIC ni moja wapo ya meli ndogo zipo kubwa kushinda TITANIC.
Ndani ya TITANIC kutoka sehemu moja kwenda nyingine baiskeli ilikuwa inatumika.
Sasa mjinga mmoja anatuambia hata zile AZAM FAST FERRIES eti zile ni meli.....
Hapa bongo meli ni chache sana. Labla za akina MAERSK zile ni merchant ship meli za mizigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…