Dah zilikuwa zinatangazwa kama matangazo ya kifo RTD... Daily kutwa mara 3... In fact ile ilikuwa sera ya JK... Kwasasa tunahimizwa kufyatua hivyo automatically lady pepeta zinakufwa kifwo cha mbendembendeNaona jukumu la kuvaa kondomu tumeachiwa wanaume tu. Pepeta nyie mnaziona kwa wapenzi wenu wakuu kama tunavyotembea na zetu sie wanaume??