Hivi Rais Hajui mfumuko wa bei bidhaa mbalimbali hadi Rim paper (47000-120000)?

Hivi Rais Hajui mfumuko wa bei bidhaa mbalimbali hadi Rim paper (47000-120000)?

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Hii nchi uzuzu umefika pabaya sana, serikali imeacha mambo ya msingi yaharibike. Inahangaika na punguzo la bei za petrol inajisahau bei za bidhaa na huduma zingine ambazo baadhi mfumuko wake wa bei ni wa umakusudi kbsa kutumia fursa ya utopolo wa watendaji na viongozi.

Badala ya serikali kuunda timu au kikosi kazi cha kuchunguza upandaji wa bei holela na wa mauwaji ya kimbari ya uchumi katika jamii inaunda kikosi cha kizuzu cha mambo ya siasa.

Akili ndogo itawapa fikra ndogo endeleeni kuupiga mwingi.
 
Hii nchi uzuzu umefika pabaya sana, serikali imeacha mambo ya msingi yaharibike. Inahangaika na punguzo la bei za petrol inajisahau bei za bidhaa na huduma zingine ambazo baadhi mfumuko wake wa bei ni wa umakusudi kbsa kutumia fursa ya utopolo wa watendaji na viongozi.

Badala ya serikali kuunda timu au kikosi kazi cha kuchunguza upandaji wa bei holela na wa mauwaji ya kimbari ya uchumi katika jamii inaunda kikosi cha kizuzu cha mambo ya siasa.

Akili ndogo itawapa fikra ndogo endeleeni kuupiga mwingi.

Rais Mwinyi amedhibiti mfumko wa bei bila kuunda tume yoyote
 
Hii nchi uzuzu umefika pabaya sana, serikali imeacha mambo ya msingi yaharibike. Inahangaika na punguzo la bei za petrol inajisahau bei za bidhaa na huduma zingine ambazo baadhi mfumuko wake wa bei ni wa umakusudi kbsa kutumia fursa ya utopolo wa watendaji na viongozi.

Badala ya serikali kuunda timu au kikosi kazi cha kuchunguza upandaji wa bei holela na wa mauwaji ya kimbari ya uchumi katika jamii inaunda kikosi cha kizuzu cha mambo ya siasa.

Akili ndogo itawapa fikra ndogo endeleeni kuupiga mwingi.
sasa unataka Rais ndio akununulie rim paper? wacheni kudeka fanyeni kazi ilihali mkijua hali ya uchumi duniani imekuwa mbaya kwa ujumla wake.
 
Umenena vema sana ,bila kuhangaikia mfumuko Wa bei uliojitokeza ni kazi bure tu. Mahitaji jumbani bei inatisha, vifaa vya ujenzi ndio havigusiki kabisaaa!!
 
Hii nchi uzuzu umefika pabaya sana, serikali imeacha mambo ya msingi yaharibike. Inahangaika na punguzo la bei za petrol inajisahau bei za bidhaa na huduma zingine ambazo baadhi mfumuko wake wa bei ni wa umakusudi kbsa kutumia fursa ya utopolo wa watendaji na viongozi.

Badala ya serikali kuunda timu au kikosi kazi cha kuchunguza upandaji wa bei holela na wa mauwaji ya kimbari ya uchumi katika jamii inaunda kikosi cha kizuzu cha mambo ya siasa.

Akili ndogo itawapa fikra ndogo endeleeni kuupiga mwingi.
Anajua ila timu msoga inambana ili wafidie hasara waliyoata enzi za kibano cha mwendazake.

Lakes oil imerudi kwa spidi ya 5G. Makaa ya mawe sasa yanasombwa kwa kasi ya ajabu lakini tozo ziko palepale.
 
Vitu havipandi bei kiholela.
ni wazalishaji ndio wanapandisha bei.

Shida tumeshindwa kutengeneza bidhaa zetu wenyewe.
 
Kwani huu mfumuko wa bei ni Tanzania tu au mpaka nchi zinazozalisha hizo bidhaa tunazotumia hapa kwetu?? Na pia upandaji wa mafuta unachangia kupanda kwa bei ndio maana anahangaikia huko kwenye mafuta kwanza.
 
Siku zote ukicheka na nyani lazima uvune mabua.
 
Vitu havipandi bei kiholela.
ni wazalishaji ndio wanapandisha bei.

Shida tumeshindwa kutengeneza bidhaa zetu wenyewe.
"Necessity is the mother of invention" Uhitaji (umuhimu) ni mama wa uvumbuzi.

Kupanda (mfumuko wa bei) kwa bei za bidhaa inatubidi wadau wa ujenzi tubuni mbinu mpya za kupunguza gharama za ujenzi bila kuathiri ubora (quality and standards). Hapa darasa la ujenzi la waja wema, tumebuni aina ya ujenzi wa ngazi za kipekee, zenye kukidi viwango na kupitiliza viwango na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu. Bofya link ujionee: Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza.
 
Back
Top Bottom