Hivi rais huwa anaingia bank kudraw pesa?

Hivi rais huwa anaingia bank kudraw pesa?

mwibamwiba

Senior Member
Joined
May 22, 2015
Posts
150
Reaction score
38
Wadau katika umri wangu wote na uzee huu nilionao sijawahi kusikia au kuona rais yeyote yule duniani amekwenda bank au ATM au mpesa kudraw mshahara wake, awe amestaafu au bado amiri jeshi mkuu, Je, wao huchukua vipi pesa zao! Wadau wa mambo ya fedha tunaomba mtuelimishe na ikiwa hawachukui sasa mshahara wanalipwa na wanini. Tupeni elimu tafadhali.:llama::hand:
 
Huyu huwa anachota Benki kuu...muda wowote akiamua

Au anatoa amri achotewe
 
kwa mawazo yangu.. raisi ni mmojawapo wa wateja ambao wanaweza hudumiwa hata nyumbani kwake...

akihitaji hela bank inapeleka mhudumu ikulu anamhudumia pale pale...

nina imani sio rais tu hata mabilionea huwa wanafatwa na bank popote walipo na kupewa huduma...

kuna tangazo la nbc zaman nililionaga kwenye tv linaonesha mhudumu anamfata mtu nyumbani kumpa huduma..

tena siku hizi kuna POS zile.. hii ndio njia inayotumika...

au anakuwa na cheque book malipo yake yote anayafanya kwa cheque... mfano ada za ndugu zake au ujenzi na mengineyo analipa kwa cheque tu
 
Swali zuri kweli........ukweli kwa hichi cheo cha Urais kuna mengi mtu unajiuliza hawa watu wanaishije katika jamii.........hivi wanapataga muda wa kwenda shopping, kukaa na friends kupiga story, ziwe za mpira, sinema au hata mademu......dah.
 
kwa mawazo yangu.. raisi ni mmojawapo wa wateja ambao wanaweza hudumiwa hata nyumbani kwake...

akihitaji hela bank inapeleka mhudumu ikulu anamhudumia pale pale...

nina imani sio rais tu hata mabilionea huwa wanafatwa na bank popote walipo na kupewa huduma...

kuna tangazo la nbc zaman nililionaga kwenye tv linaonesha mhudumu anamfata mtu nyumbani kumpa huduma..

tena siku hizi kuna POS zile.. hii ndio njia inayotumika...

au anakuwa na cheque book malipo yake yote anayafanya kwa cheque... mfano ada za ndugu zake au ujenzi na mengineyo analipa kwa cheque tu
Mkuu vipi, ulifanya ziara nyingine kule Tarime?
 
Hivi kwa ulinzi alionao Rais anaweza kuchepuka kweli???
Ha ha ha ha ha......kwenye hiyo angle mkuu inawezekana kabisa, japo ni movie lkn knilikuwa nacheki series inaitwa Scandal, nilikuwa namuona Mr Prezidaa anavyotoroka kwake na walinzi wachache kufuata mchepuko.
 
Hio rangi ya maandishi uliyotumia kama unaenda kuwinda vile
 
Ukiwa na FWEZA za kutosha BENKI hata kama ukiwa Gaidi jamaa wanaweza kukufuata msituni kukupa huduma.....kwa MABENKI mteja ni zaidi ya MFALME...!!?
 
Back
Top Bottom