GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Alibahatisha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumeshasahau bana ila kaseja bonge la kipa
Alibahatisha tu
Ndio mchezo banaMbele ya rais wa nchi,rais wa mkoa,rais wa simba. Aiseee bahati za watu wengine nzuri sana kamnyamazisha manara kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumeshasahau bana ila kaseja bonge la kipa
Ulivyomtaja Kaseja ndiyo umenichefua / kunitibua kabisa Mkuu. Yule Mtoto ni mbaya sana na alaaniwe kabisa! Hana adabu.
Maneno ya gongowazi fc!Rais kaongea vile kutokana na performance ya timu ya Simba Siku ile maana mlibanwa sana mbavu hadi mwisho wa mchezo kuambulia kutobolewa tundu na sindano ndeeefu iliyochongaka.
Sasa hizi habari za Yanga zinakujaje hapa wakati mechi ilikuwa yenu Mikia Sc na mlimwita wenyewe, kwani huo ubovu au ubora wa Yanga yeye haujui..?? Hali ya kuwa mwenyewe Rais kaproovisha kuwa ni mfuatiliaji bora wa Mpira na Ligi zote dunia hii.
Acha kujitetea/kujikweza kupitia mgongo wa Yanga.. Mikia Sc mliharibu mech na hamkumridhisha Rais kwa uchezaji wenu ITABAKI kuwa hvyo tu..