Hivi Rais Magufuli kulihutubia Bunge na kuahidi kuwa katika kipindi kijacho ataimarisha Demokrasia, maneno hayo yanatoka moyoni mwake au ni usanii?

Hili zigo ni letu sote.
parts
Dunia nzima imeona namna uchaguzi mkuu ulivyovurugwa...........

Sasa tungojee hao tunawaita mabeberu watakavyoanza kutekeleza hiyo azma yao ya vikwazo vya uchumi, ndipo akili zitaanza kutukaa sawa
 
Huyo haelewagi kinachotoka mdomoni mwake achana naye, Kilaza wa Karne
 
Baba wa taifa aliwaasa CCM kuvilinda vyama vya upinzani alikuwa na sababu zake za msingi kabisa.

Sasa mtu anakuja kuvuruga kazi yote iliyofanywa toka mwaka 1992.. huyu ni adui wa wote wapenda demokrasia.

Mataifa tunaomba msaada wenu..msaada wa haraka sana.
 
Huo ni usanii toka kwa msanii mzoefu kwenda kwa Bunge dhaifu kuwahi kutokea likiongozwa na yuleyule Spika dhaifu wa Wabunge dhaifu wa ndiyooo toka Chama mfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…