Nyota anayo mkuu tatizo ni walaji siku hizi watu wamezoea miziki ya Kinageria, ndio maana Diamond anapata nguvu na pesa maana amejua kukopi kina Wiz Kid, na hili ndio tatizo wengi hawamuelewi Ally Kiba.Huyu jamaa namkubali ile mbaya ndio msanii wangu Bora wa muda wote angalia na ngoma yake inaitwa nibebe bonge la ngoma tatizo nyota Hana.
Bora ungezungumzia msanii mwingine ila sio Alikiba me mwenyewe alikiba si muelewi ngoma ya mwisho niliyoielewa ya Alikiba ni aje baada ya hapo zinazofuata ni takataka.Nyota anayo mkuu tatizo ni walaji siku hizi watu wamezoea miziki ya Kinageria, ndio maana Diamond anapata nguvu na pesa maana amejua kukopi kina Wiz Kid, na hili ndio tatizo wengi hawamuelewi Ally Kiba.
Sio lazima wewe umuelewe, inawezekana hata darasani ulikuwa mzito kuelewa, ila wengi tunamuelewa Ally Kiba na ndio sababu hata Tabora alipata mapokezi ya kutosha., na vilevile huwezi kuelewa vyote na pia ungepunguza chuki labda ungefunguka ufahamu huwezi kuita kazi ya mtu taka taka,.Bora ungezungumzia msanii mwingine ila sio Alikiba me mwenyewe alikiba si muelewi ngoma ya mwisho niliyoielewa ya Alikiba ni aje baada ya hapo zinazofuata ni takataka.
Maisha ndio yalivyo unaweza msanii fulani usimwelewe Kuna watu wengine wanamwelewa Kama vile wewe umwelewi diamond but watu wengi wanamuelewa au Mimi na wewe tunamwelewa Rama Dee ila watu wengi hawamuelewi na hii inasababishwa na kutofautiana kwenye ladha ya mziki.Me kusema kwamba ngoma zinazofuata za kiba ni takataka sio tu kwa kiba ngoma zote ambazo kwangu ni mbaya naziita takataka.Sio lazima wewe umuelewe, inawezekana hata darasani ulikuwa mzito kuelewa, ila wengi tunamuelewa Ally Kiba na ndio sababu hata Tabora alipata mapokezi ya kutosha., na vilevile huwezi kuelewa vyote na pia ungepunguza chuki labda ungefunguka ufahamu huwezi kuita kazi ya mtu taka taka,.