Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Duh! I'm I living under the rock or something? Kwa muda wote wa maisha yangu nimeishi na kufuatilia mziki wa hapa Tanzania na sijawahi kusikia kazi nzuri za huyu jamaa? Ila nakiri hii ngoma ni miongoni mwa nyimbo Kali kuwahi kusikia kwamba ni mali ya mmatumbi i mean mswahili. Nilikuwaga naamini Nurueli ndo mkali pekee wa RnB ninaemjua..hapana kumbe huyu dogo nae wamo.
Perfect voice with an amazing vocal techniques.. He made lugha yetu ya kiswahili ionekane smooth and sentimental.
Life is not fair and has never been fair kwa kweli..Diamond na Vanessa wanakwapua tu matuzo kimataifa ilhali Rama dee yuko kibanda umiza pale Manzese anajipoza na EPL.
Kiukweli huyu jamaa levo zake ni akina John legend au Joe Thomasi.
Ni sawa sawa na Lokua Kanza mwanamuziki toka Congo jamaa ni well talented and gifted lakini hapewi respect kihivyo wala hapati pesa za kutosha kutoka kwenye kipawa chake cha muziki. Its sad! Ukisikiliza ngoma zake kama "Mutoto" au "Nakozonga" au "si tu pars" pamoja na "kwetu mbali" ndo utajua jamaa anastahili heshima ya ulegendary. Ni papa wemba pekee ndo anakiri umahiri wa huyu jamaa na kulalamika wacongoman kutomconsider jamaa kama nguli wa fani ya muziki.
Perfect voice with an amazing vocal techniques.. He made lugha yetu ya kiswahili ionekane smooth and sentimental.
Life is not fair and has never been fair kwa kweli..Diamond na Vanessa wanakwapua tu matuzo kimataifa ilhali Rama dee yuko kibanda umiza pale Manzese anajipoza na EPL.
Kiukweli huyu jamaa levo zake ni akina John legend au Joe Thomasi.
Ni sawa sawa na Lokua Kanza mwanamuziki toka Congo jamaa ni well talented and gifted lakini hapewi respect kihivyo wala hapati pesa za kutosha kutoka kwenye kipawa chake cha muziki. Its sad! Ukisikiliza ngoma zake kama "Mutoto" au "Nakozonga" au "si tu pars" pamoja na "kwetu mbali" ndo utajua jamaa anastahili heshima ya ulegendary. Ni papa wemba pekee ndo anakiri umahiri wa huyu jamaa na kulalamika wacongoman kutomconsider jamaa kama nguli wa fani ya muziki.