Hivi Rama Dee aliwakosea nini watanzania

Tatizo wapresenter wengi kama wamerogwa na clouds, wanaiga sana mambo yao sana hadi utimu upo kwahiyo siweza shangaa kutokupigwa kwa nyimbo zao,yaani ingebidi wajifunze kupiga muziki mzuri
 
safi sana mdau kwa uchambuzi uliojaa ukweli.
 
Daaaa Rama D my favorite musician and best vocalist ever, ebu tafuteni wimbo mmoja unaitwa Ridhika, hakika huyu jamaa ni shedah
 
hii ukiwa na head phones kubwa ama redio nzito ndo unapata ladha vizuri,, me nairudiaga hii ngoma hata mara kumi.. pia kwa faida ya ma domozege ingia geto na gash kisha weka hii ngoma kwa sauti ya kawaida.. akipindua ujue huo udomo zege hautibiki hata kwa hospitali za india
 
Huyu jamaa anajua huo wimbo ni shida. Changanya nyimbo za ben pol hazioni ndani kwa kipenda roho.
Ila ndiyo hivyo watz wengi kama hawaoni na wengine hawamjui.
Hapo ndipo ujue mziki ni zaidi ya kuwa mwimbaji mzuri.
Ben pol hata aimbe mpaka
Kesho atabakia tu kumpgia rama dee
Salut
 
Tatizo jamaa ana mambo ya kike na ndio yamesababisha apotee kwenye game,aliingilia ugomvi wa Ruge na sugu sasa walivyo kuja kupatana yeye akabaki yupo yupo na ngoma zake cloud hawazigongi!
Ruge cjui anakimbola gani
Yule mhaya ona mapacha 3
Mpaka leo wamepotea kabsa
Japokua aalishayamaliza


Ila kiboko yake n jay dee tu
 
Tatizo jamaa ana mambo ya kike na ndio yamesababisha apotee kwenye game,aliingilia ugomvi wa Ruge na sugu sasa walivyo kuja kupatana yeye akabaki yupo yupo na ngoma zake cloud hawazigongi!
Acha uwongo....bifu la rama d na clouds fm halijaanzia ktk antivirus.....wale wana yao kitambo tu hiyo antivirus ni mwendelezo tu

Na kuchukiwa na clouds si ndio sababu ya kufeli kimuziki,kwani wao nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…