Hivi rangi za upinde wa mvua (rainbow) ndio tumenyang'anywa hivyo

Hivi rangi za upinde wa mvua (rainbow) ndio tumenyang'anywa hivyo

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Yaani sasa ukitumia rangi za upinde wa mvua unahesabika upande wa pili. Dah! Hawa jamaa bwana.

Kwenye biblia tunasoma
"Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi. Hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni, nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili."
Mwa 9:13‭-‬15 SUV

th-54648040.jpg
th-4079603598.jpg
 
Na bado. Waki toka kwenye upinde wa mvua wanaingia kwenye Jua na Mwezi.
 
Na nina uhakika hawakuichagua hizo rangi kwa bahati mbaya
 
Ukiona nguo au kiatu kina hizo rangi unaepika mbali, ilhali kama ni t-shirt au koti lenye hiyo nembo ikivaliwa inaweza kupendeza ukivaa na kiatu chochote tu.
Ila ndo ivo tushapokwa hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom