johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naona wadau wengi wa Katiba mpya wanaipigia chapuo Rasimu ya Jaji Warioba
Ndio najiuliza kwanini huyo Rasimu isipitishwe tu kuwa Katiba mpya?
Maana Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na zitto kabwe wadau hawakifatilii Kabisa
Ndio najiuliza kwanini huyo Rasimu isipitishwe tu kuwa Katiba mpya?
Maana Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na zitto kabwe wadau hawakifatilii Kabisa