Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Ni Mwezi wa 6 Huu Tangu Rayvanny atangaze label yake ila hadi leo hakuna chochote kinachoendelea kwenye hiyo label
Juzi kati ametubiga mkwara wa kutambulisha First born wa NLM hadi Leo holla hakuna cha Msanii wala nini
Rayvanny hebu fanya Maajabu Uongeze Competition kwenye game la Bongo Flavor tunamsubiri Msanii mpya hili tuone kama kwenye ni Next Level kama Jina la Label au vipi
Ila navyoona Next level Music (NLM) itakuwaja kubwa Record Label Kubwa Africa ya Kushindana na WCB, Mavini Records, King Music na DMW Ambazo ni Record Label kubwa na Zimetoa Vichwa kwenye Mziki huu
Rayvanny Changamka Utoe challenge kwenye Game la Bongo Flavor
Then Kama Ulikuwa hujui Rayvanny Anakaribia Kumalizia Deni lake WCB hili Asepe kwenye Label hiyo
Juzi kati ametubiga mkwara wa kutambulisha First born wa NLM hadi Leo holla hakuna cha Msanii wala nini
Rayvanny hebu fanya Maajabu Uongeze Competition kwenye game la Bongo Flavor tunamsubiri Msanii mpya hili tuone kama kwenye ni Next Level kama Jina la Label au vipi
Ila navyoona Next level Music (NLM) itakuwaja kubwa Record Label Kubwa Africa ya Kushindana na WCB, Mavini Records, King Music na DMW Ambazo ni Record Label kubwa na Zimetoa Vichwa kwenye Mziki huu
Rayvanny Changamka Utoe challenge kwenye Game la Bongo Flavor
Then Kama Ulikuwa hujui Rayvanny Anakaribia Kumalizia Deni lake WCB hili Asepe kwenye Label hiyo