Rayvanny Hana maajabu yyte, ni jamaa mmoja mlaini mpenda mademu na mwenye majivuno, kiburi, mixer na vidharau vya chini chini, na kiukweli Diamond kambebaa, ameegemea Kwa mademu Sana na vijana walamba midomo wa DSM , hyo inampa faida nyimbo zake kusikilizwa Sana mana nyimbo nyingi ni za wadada , hata hvyo ili upepee inahtaji wanaume wa shoka na support ya wahuni wa mjini mixer na kuchawiana , unafki na sarakasi kibao , kitu ambacho yeye ni too smooth , anajifanyaga Hana haraka at the same time anajiringanisha na harmonize ambaye day to day anapambana heavy battle na anaonekana kutia msuli ....!!!
Afanye yote Ila asijarbu kukosana na Wasafi , ndo tutamsikia kwenye bomba tuu, ni kweli nyimbo zake zinatembea , Ila asijarbu kujilinganisha na mmakonde , Kondeboy ni heavy weight right now...!! Yeye aendelee tu kukomaa na label yake ya kugongea mademu na kupiga picha ..
Dah! Broo nimesoma koment yako mpaka nikataka niombe faili lako pale mirembe...Rayvanny Hana maajabu yyte, ni jamaa mmoja mlaini mpenda mademu na mwenye majivuno, kiburi, mixer na vidharau vya chini chini, na kiukweli Diamond kambebaa, ameegemea Kwa mademu Sana na vijana walamba midomo wa DSM , hyo inampa faida nyimbo zake kusikilizwa Sana mana nyimbo nyingi ni za wadada , hata hvyo ili upepee inahtaji wanaume wa shoka na support ya wahuni wa mjini mixer na kuchawiana , unafki na sarakasi kibao , kitu ambacho yeye ni too smooth , anajifanyaga Hana haraka at the same time anajiringanisha na harmonize ambaye day to day anapambana heavy battle na anaonekana kutia msuli ....!!!
Afanye yote Ila asijarbu kukosana na Wasafi , ndo tutamsikia kwenye bomba tuu, ni kweli nyimbo zake zinatembea , Ila asijarbu kujilinganisha na mmakonde , Kondeboy ni heavy weight right now...!! Yeye aendelee tu kukomaa na label yake ya kugongea mademu na kupiga picha ..
Kwenye platformNi kama mwajiriwa wa muhindi.. hawezi chomoka pale atakuwa kapigiliwa na misumari.
Halafu utaskia eti anamzidi Harmonize... hahahahaa
Futa uandike upya ukiwa umeshanyamaza kulia!Rayvanny Hana maajabu yyte, ni jamaa mmoja mlaini mpenda mademu na mwenye majivuno, kiburi, mixer na vidharau vya chini chini, na kiukweli Diamond kambebaa, ameegemea Kwa mademu Sana na vijana walamba midomo wa DSM , hyo inampa faida nyimbo zake kusikilizwa Sana mana nyimbo nyingi ni za wadada , hata hvyo ili upepee inahtaji wanaume wa shoka na support ya wahuni wa mjini mixer na kuchawiana , unafki na sarakasi kibao , kitu ambacho yeye ni too smooth , anajifanyaga Hana haraka at the same time anajiringanisha na harmonize ambaye day to day anapambana heavy battle na anaonekana kutia msuli ....!!!
Afanye yote Ila asijarbu kukosana na Wasafi , ndo tutamsikia kwenye bomba tuu, ni kweli nyimbo zake zinatembea , Ila asijarbu kujilinganisha na mmakonde , Kondeboy ni heavy weight right now...!! Yeye aendelee tu kukomaa na label yake ya kugongea mademu na kupiga picha ..
"wanaweweseka "Bado yupo busy na Paula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo amejikuta kwenye dimbwi tayari,mama na mwana watamwendesha mapaka apoteze sauti ya kuimba..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "wanaweweseka" kawapa taarifa watu hivyo.Bado yupo busy na Paula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ray hana maajabu tofauti yake na zuchu ni jinsia tu