Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Hivi karibuni nime expirience tatizo la gas kuisha ndani ya wiki3 tofauti na siku za nyuma, ikumbukwe naishi na mke only hatuna house girl wala ndugu, wote tunatoka asubuhi sana na tunarejea jioni, matumizi tunayofanya ni asubuhi tunachemshia maji ya kuoga na chai so mimi nishahidi wa matumizi bora ya gas, kwa matumizi niliyotaja tulikua tunatumia miezi 3 sasa kilicho nishangaza ni gas kuisha ndani ya wiki tatu
Wenzangu mmekutana na kadhia hii?, kama mmekutana nayo je kuna mamlaka za ku maintain standard and quality? Mamlaka hizo zinafanya kazi gani?
Najua kuna watakao sema gas mnachemshia maharage...n.k
Cc
yna2
Mother Confessor
Smart911 na Partner wako mahondaw
General Mangi
BASIASI
Mr. MTUI
Agatha Frank
Beira Boy
Wenzangu mmekutana na kadhia hii?, kama mmekutana nayo je kuna mamlaka za ku maintain standard and quality? Mamlaka hizo zinafanya kazi gani?
Najua kuna watakao sema gas mnachemshia maharage...n.k
Cc
yna2
Mother Confessor
Smart911 na Partner wako mahondaw
General Mangi
BASIASI
Mr. MTUI
Agatha Frank
Beira Boy