Elections 2010 Hivi Ridhiwani huwa anaongea nini huko anakozunguka zunguka?

Elections 2010 Hivi Ridhiwani huwa anaongea nini huko anakozunguka zunguka?

kaburunye

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
672
Reaction score
79
Wadau, ningependa nijue huyu bwana mdogo ("First brother") wa TZ huwa anaongea nini huko anakozunguka akipiga siasa. Maana najua huyu dogo hana point kabisa, nataka yeyote anayejua ambayo huwa yanajiri kwenye ziara zake atumwagie hapa jamvini. Maana anayofanya "First lady" tumeyasikia na utumbo wake na nadhani ni muhimu tujue pia huyu dogo huko anaongea utumbo upi. Nasikia huwa ana demand reports kutoka kwa viongozi wa serikali na cha ajabu nao huwa wanampa. Hivi hatuna viongozi wenye akili timamu ambayo wanaweza kuukataa upuuzi huu hata ikibidi kunyang'anywa cheo???
 
Atakuwa anaongea blah blah za JK - pumba za Salama= hoja za Riz
 
hahahah jamani kwahiyo naye anatumia pesa za chama kama 29million per freight
 
Hii familia uchaguzi wa mwaka huu ndio wamechachamaa kweli.
 
Anatengeneza mtandao wake wa ulaji mwaka 2015 wa urais. Huku akijitahidi kufikisha mizigo ya mzee kwa walengwa ( Milioni sitini sitini zile) ndo anayezibeba. Anachosema kwa kweli hata mimi nahamu nacho kukisikia? jamani wana CCM tupeni anayosema huyu jamaa ni yapi?
 
Dogo aliniboa sana alivyojihusisha na uchaguzi wa Yanga akijifanya yeye ni Kikwete akawa ana madaraka makubwa sana! Muulizeni Kifukwe
 
Dogo aliniboa sana alivyojihusisha na uchaguzi wa Yanga akijifanya yeye ni Kikwete akawa ana madaraka makubwa sana! Muulizeni Kifukwe

Eeebana eeehh kwani hujui kuwa alikuwa anampigia debe Davies Mosha? (tajiri kijana) Hapo alikuwa anataka pesa za kampeni tu toka kwa David na kweli alishinda, sijui sasa yeye alipewa ngapi kama malipo ya kumpa tafu lote hilo
 
Huyu dogo anajua mshua ni Mfalme wa TZ so ataachiwa kiti cha enzi hapo mbeleni kheeee!!! Atajuta kitakachompata hapo mshua atakapoondoka madarakani !!!
 
BTW- hivi huyu dogo naye anakodishiwa ndege kwa dola 15,000 kwa masaa matano?
 
mkuu katengewa bajeti yake huyo na inatakiwa kuisha kabla ya oct 31 2010 so unaweza jua anatafuta nini
 
Back
Top Bottom