Tatizo si utandawazi mkuu. Mi naona tatizo lipo kwa tuliwapa mamlaka huko Juu hawataki kufikiri nak kubadilika kwa wakati wao wanajisahau wanafikiri tanzania ipo peke yake(kisiwa humu duniani (hatuna sheria zinazokwenda na kasi ya Teknolojia zinazoibuka kila siku. Duniani huko hata upitishie rushwa wapi (kwa internet, Mobile-Pesa,M-PESA sheria inaweza kukung'amua maana hakuna aliye juu ya Sheria so hata hayo makampuni ya simu,internet sheria inawabana kutoa siri kwa transaction zinazotia shaka kwa manufaa ya nchi, hapa TZ tuna Tume ya Kurekebisha Sheria, Bunge ambazo zingekuwa na viongozi makini walioajiriwa sio kwa upendeleo (UDINI, UKABILA, MTANDAO) mfano mzuri angalia safu ya Baraza la mawaziri wengi wao ama ni Waislamu, au wametokea maeneo karibu na Mkuu (Bagamoyo, Kilosa( Mkuu lo!), Mkoa wa Pwani (kawa mbwa), Lindi(M embe, Majaliwa) Mtwara (Gha Sia), Uislamu (mba Rawa, Na hodha, Malima) NETWORK (Lu kuvi, Nchi mbi) nyumba ndogo za zamani ( S.Simba, wa Pwani Ma Hiza) TZ tungekuwa nchi y a kupigiwa mfano......kule UDOM Prof (VC), DVC(Administration). But tujifunze kitu kwa wenzetu wenye mafanikio japo wametoka kuchinjana juzi tu. so issue hapa ni ufinyu wa mawazo kwa WATEULIWA (unapewa dhamana NO INTERVIEW YA WAZI, HAKUNA WA KUKUWAJIBISHA ZAIDI YA MKUU MWENYEWE ndo maana mambo hayaendi.