Hivi saa ya mkononi ina madhara gani kiafya?

Hivi saa ya mkononi ina madhara gani kiafya?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Ni kama swali la kitoto lakini nimeuliza hivyo kwasababu mimi ni mvaaji wa saa mzuri tu sasa imefikia hadi mkono wangu umepata alama nyeupe pale ninapovalia saa (yaani ngozi imebadilika rangi imejichora saa) sasa nikiangalia ile alama nikiangalia na lile bati (sijui madini gani) linaloniweka alama mkononi basi sipati picha na sina imani kabisa.
 
Nadhani ni kutokana na labda ile saa kukubana hivyo blood flow sehemu hiyo ya mkono ikawa hakuna ndio maana kukawa na weupe.
 
Back
Top Bottom