Hivi sababu hasa ni nini?

Hivi sababu hasa ni nini?

dropingcoco

Senior Member
Joined
Jun 21, 2008
Posts
124
Reaction score
11
Kumekuwa na wimbi kubwa la ushoga hapa nchini kwa sasa.Ni aibu na fedheha kwa jamii yetu ya kitanzania kuiga tabia hii ambayo ni kinyume kabisa na maadili yetu.inashangaza sana pale unapokutana na mtu mwenye nafasi yake nzuri katika jamii lakini ni shoga. Wapo watu wengi hapa mjini wenye pesa zao lakini wanafanya shughuli hizo,nimesikitika kusikia kuwa tabia hizi huanzia utotoni, je watoto wetu wa kiume tunaowapeleka boarding schools wako katika usalama? Ni hatua gani ichukuliwe kukomesha tabia hii?....mawazo yenu tafadhali
 
sababu kubwa nionavyo ni
  • ukosefu wa maadili,
  • tamaa za mali kama wanawake
  • maumbile tu
  • kuzaliwa hanidhi
  • mazingira
 
ulevi huo mnajikuta mnafanyiwa baadae mnapenda sasa
 
Back
Top Bottom