Wana jf mie nna tatizo linanipa utata kuna particle(vijichembe) nyeupe huwa vinajishikiza kwenye koo(mfumo wa hewa) na ninapohisi usumbufu zaidi huwa najilazimisha kama kutema kwa kutumia nguvu ya msuguano katika koo ndipo vijichembe vyeupe hutoka na nimejaribu kuvichunguza vinaharufu mbaya hasa ninapovisaga harufu hii inafanana na harufu inayotokaga kwa watu wenye matatizo ya harufu mdomoni hasa unapoongea nao ila mimi ni hivi vijichembe ndio vinanisumbua hivi tatizo ni nini na ni nini hivi vichembe?
Pole Man G- siwezi nikakupa tiba sababu sijui how bad they are but nitakujuza nini hivo vitu na vitakoe vipi >> those stinky white things you cough up tunaviita tonsillolith "sijui kiswahili chake" also called tonsil stone or calculus of the tonsil or a cluster of calcareous matter which forms in the rear of the mouth, in the crevasses (called crypts) of the palatine tonsils, kwa ufupi twaviita tonsils.
Je vinasababishwa/ vitakea vipi...
1) food particles
2) dead white blood cells (a.k.a. leukocytes)
3) oral bacteria, possibly from mouth breathing
4) overactive salivary glands
Protruding tonsilloliths have the feel of a foreign object, lodged between the outside of wisdom teeth and the temporomandibular joint region of the fleshed jaw. They may be an especially uncomfortable nuisance, but are not often harmful.
jisomee mwenye more about it Tonsillolith - Wikipedia, the free encyclopedia
Allah knows best!
Get well soon