Hivi sababu za kuzuia Wabunge 19 kuingia bungeni bado zina mashiko?

Hivi sababu za kuzuia Wabunge 19 kuingia bungeni bado zina mashiko?

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa CHADEMA imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwanini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa? Wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania Katiba Mpya.
 
Kwanini wasamehewe?
Hao watoke tu humo mjengoni,kwani hawawezi kuishi bila ubunge?
Mbona wanakua wanaendekeza njaanjaa sana?
 
Nimetqfakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa Chadema imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anqendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwa nini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa?wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania katiba mpya.
Mku kuwasamehe waliogushi ni kesi kwani kumbuka hicho Chama hakiwezi kuwapeleka wanaopewa maelekezo na walishirikiana nao kugushi.
Kwani kitapeleka team iliyokamili ili hiyo tasisi isilale kwani ndo hofu kubwa ya hao watakaoteuliwa uwezo wao wa kujenga hoja ukawa mkubwa zaidi ya huyo anayendesha hicho kikosi.
 
..mtu asiye na chama hapaswi kuwa mbunge wa viti maalum.

..katika hili sheria inapaswa kufuatwa bila shuruti.
 
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa CHADEMA imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwanini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa? Wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania Katiba Mpya.
NDIO ZINA MASHIKO.
 
Hao wote wanatumzwa na mabwana (mbwa) walioko ndani ya chadema, kinachofanyika ni porojo tu
 
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa CHADEMA imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwanini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa? Wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania Katiba Mpya.
Chadema wao wamefanya kazi yao kuwafukuza wasaliti kwenye chama chao,na wameishia hapo, habari ya ubunge siyo jukumu lao tena,hao vicheche ndiyo wamefungua kesi kwa maelekezo ya Spika. Yote yanayoedelea Mahakamani ni sarakasi za CCM na vyombo vyake vya dola, itoe Chadema kwenye huu mjadala. Chadema wako bize na kazi zao ikiwepo kuhamasisha na kudai Katiba Mpya.
 
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa CHADEMA imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwanini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa? Wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania Katiba Mpya.
JINAI HAIIFI umesoma mpaka darasa la ngapi?
 
Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19.

Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge mmoja aliyeshinda uchaguzi huko Nkasi.

Lakini kwa sasa CHADEMA imekubaliana na Serikali iliyopo na hata mbunge wa kuchaguliwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Kwanini wasitumie muda huu kujipanga na kuleta ushindani wa kisiasa ili kujenga taifa? Wasameheni hao mjipange upya kwa uchaguzi ujao na kupigania Katiba Mpya.
Chadomo ni malofa,wanahangaika na mambo ya kijinga sasa sijui hata inawasaidiaje yaani inabakia kuwa ni wivu zaidi.
 
Back
Top Bottom