Nimewaza tu jamani. Mana sabaya anajua siri nyingi sana na katika watu waliokuwa hawajulikani au watu wasiojulikana wajati ule tayari yeye ni mmoja wao na amejifunua tayari
Nimewaza tu jamani. Mana sabaya anajua siri nyingi sana na katika watu waliokuwa hawajulikani au watu wasiojulikana wajati ule tayari yeye ni mmoja wao na amejifunua tayari
Akajipa na manyota ya jeshi pengine alihusika kumpiga tundulisu risasi maana huyu alikuwa kiberenge wa kwenda kufanya matukio mkoa wowote na hakuna mtu aliye weza ingilia msafara wake maana alipo jiwe yupo!!