Hivi Samatta na Diamond nani mwenye hela nyingi? Je, muziki unalipa sana kuliko mpiira?

Hivi Samatta na Diamond nani mwenye hela nyingi? Je, muziki unalipa sana kuliko mpiira?

samatta ana fixed kipato kikubwa...mfano milion 100 kwa mwezi... diamond anaweza mwezi huu asipate hata mia.. mwezi ujao akapata show kazaa akapata hela...

also samatta anacheza timu na ligi maskini kwa level za ulaya.... sizani kama ana mashahara level za milion 300 kwa wiki

pia diamond ana mambo mengi... ukila karanga yake tu umempa hela... ukiingia youtube account ya lavalava kuangalia chochote.. diamond umemchangia hela... bado wasafi tv, wasafi studio, wasanii wake wote.. etc

investment za diamond zinampa hela anazofanyia fujo.. bila kusahau belaire deal
 
Tatizo la wasanii na wanamichezo wa kiafrika rekodi za mapato haziko wazi. Hivyo inakuwa ngumu kujua vipato vyao halisi
 
Nani kasema mpira unalipa kuliko mziki??
Mpira unalipa saaaaaaana ndo maana wanamichezo watano walioingiza pesa nyingi 2016,2017 Hakuna msanii hata mmoja, deal la Nike pekee Rinaldo wanampa $1billion husiche na mpira pyeeeee
 
Mpira unalipa saaaaaaana ndo maana wanamichezo watano walioingiza pesa nyingi 2016,2017 Hakuna msanii hata mmoja, deal la Nike pekee Rinaldo wanampa $1billion husiche na mpira pyeeeee
Usimfananishe Diamond na Watu kama samatta buana D ni. Level Nyingine mpira unalipa ila sio afrika na ligi ya uberigiji mpira unalipa baadhi ya nchi mfano ni England, Spain, jerman, italy nk.
 
Back
Top Bottom