Hivi Samatta na Diamond nani mwenye hela nyingi? Je, muziki unalipa sana kuliko mpiira?

toa upuuzi humu, katafute bank statements zao, na ownership status za mali zao, usilete ushamba humu
Au asubiri Forbes Africa wakiingia, huku tutaanza kuhesabu nyumba magari e.t.c bila kujua uhakika wa ownership, na deals bila kujua wanufaika wengine ma middle man e.t.c
 
Hujui kitu kuna watu wanacheza China na uarabuni ila wanapesa kushida wanaocheza Epl pia sio kila anayecheza epl atakuwa na pesa
yeye anachanganya, anaona diamond zile drama zake basi anafikiri ana mkwanja kumzidi samata!!.
 
mkuu usiwaone wale akina rick Ross,lil Wayne,DJ jhaled wanavyojikubali ukasema wana hela,wale hawana kitu mkuu ni drama zile..
Utajiri wa p didy hata forbes wanaujua ......mchezaji yupi wamarekani yupo kwenye list ya forbes,?
 
MUSIC NI KUJIAJIRI NA MPIRA NI KUAJIRIWA mara nyingi wanaojiajiri wana hela sana kuliko walioajiriwa
 
Diamond pamoja na hela zote zile lakini ile X6 yake inawaka taa upande mmoja
 
Generally muziki unalipa kuliko Mpira, ila kuhusu Diamond vs Samatta sio rahisi kujua maana investments/vipato vyao haviko wazi japo kimtazamo wa kawaida wengi tunaamini Diamond ana hela zaidi
 
Mpira unalipa saaaaaaana ndo maana wanamichezo watano walioingiza pesa nyingi 2016,2017 Hakuna msanii hata mmoja, deal la Nike pekee Rinaldo wanampa $1billion husiche na mpira pyeeeee
Sasa umeshasema WANAMICHEZO watano; sasa how come tena unatarajia WASANII wawepo kwenye orodha ya wanamichezo?! Au Wasanii nao ni wanamichezo?!

Ungesema katika hao 5, hakuna Mwanamasumbwi, Mcheza Mieleka, Mcheza Mpira wa Kikapu, n.k lakini sio wasanii!
 
Tuanzie hapa kwanza ,Samatta analipwa kiasi gani kwa wiki...?
 
yaani nianze kuhesabu pesa za mwanaume mwenzangu??.. aah wapi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…