Sawa ila msamehe tu kwa kumgegeda mkeoK Bazil aliwah kuimba wimbo wa riziki nadhani alimlenga Mbwana Samatta na yule Majaliwa wa precission air bukoba
Hawa watu wamepata sifa na utukufu wa bureee
Samatta hajui mpira,kiwango chake ni cha kawaida mno.ni maajabu Samatta kupata dili kucheza ulaya,
Samata anazidiwa na Mayele kwa akili ya kufunga.
Samatta anazidiwa na Chama kwa akili za udambwi udambwi.
Samatta anazidiwa na Msuva na kisinda kwa spidi
Samatta akija Yanga atakaa benchi.
Samatta akija Simba ataingia sub ya Kibu Denis.
Samatta hajui mpira sema ana bahati
Dj tuletee wimbo wa K Bazil unaoitwa Riziki
🖕makaveli10 punguza hasira na usirudie kumfananisha tressor mputu na huyu mpumbavu mwenzio wa mbagala
Well said bro..Bravo[emoji119]Samatta kaenda kutamba huko kongo kwao na mayele hajulikan, samatta kwenye peak yake mayele wawe wa3 nusu na robo.
Kila kitu na muda, samatta anawatoa mafua mabeki wa kongo, katumbi anamchukua kwenda tp mazembe mayele alikuwa wapi?
Ni sawa leo umuulize tressor mputu,
Samatta kafunga huko Belgium pro league mpaka akachoka, akafeli kkwenda Aston villa (hii inatokea kwenye maisha), walifeli kina di maria itakuwa samatta
Mchezaji bora wa africa.
Ni sawa na kumsema cr7 kisa tu saa hizi hana timu.
Wabongo hatupendani, ni kweli akilii ya mpira ya chama inaweza kuwa kubwa kuzidi hata grealish, ila hilo halifanyi samatta aonekane hajui mpira.
Kiukweli ukifikiria kiwango cha samata ndipo unaamini muda mwingine katika maisha bahati ina nafasi yake .........NB sijasema kuwa samata hajuiSamatta kaenda kutamba huko kongo kwao na mayele hajulikan, samatta kwenye peak yake mayele wawe wa3 nusu na robo.
Kila kitu na muda, samatta anawatoa mafua mabeki wa kongo, katumbi anamchukua kwenda tp mazembe mayele alikuwa wapi?
Ni sawa leo umuulize tressor mputu,
Samatta kafunga huko Belgium pro league mpaka akachoka, akafeli kkwenda Aston villa (hii inatokea kwenye maisha), walifeli kina di maria itakuwa samatta
Mchezaji bora wa africa.
Ni sawa na kumsema cr7 kisa tu saa hizi hana timu.
Wabongo hatupendani, ni kweli akilii ya mpira ya chama inaweza kuwa kubwa kuzidi hata grealish, ila hilo halifanyi samatta aonekane hajui mpira.
Hata thomas ulimwengu hakai daraja moja na chama🖕
Kuna sehemu nimesema tressor ni sawa na samatta?
Mbona nimesema ni sawa kumkosea adabu cr7 kisa hana timu je hapo nimemlimganisha cr7 na mputu au na samatta?
Nimesema ni sawa na kumuulizia mputu leo wakati umri ushasogea kuna mengi kkaishayatenda kwenye soka.
Samatta nae kaishafanya yake hakai daraja moja na mayele akitaka nae afanye yake, hatukuimbi imbi tu, fanya makubwa uimbwe.
Ukweli Mchungu...ila ni kweli tupu..[emoji16][emoji16]K Bazil aliwah kuimba wimbo wa riziki nadhani alimlenga Mbwana Samatta na yule Majaliwa wa precission air bukoba
Hawa watu wamepata sifa na utukufu wa bureee
Samatta hajui mpira,kiwango chake ni cha kawaida mno.ni maajabu Samatta kupata dili kucheza ulaya,
Samata anazidiwa na Mayele kwa akili ya kufunga.
Samatta anazidiwa na Chama kwa akili za udambwi udambwi.
Samatta anazidiwa na Msuva na kisinda kwa spidi
Samatta akija Yanga atakaa benchi.
Samatta akija Simba ataingia sub ya Kibu Denis.
Samatta hajui mpira sema ana bahati
Dj tuletee wimbo wa K Bazil unaoitwa Riziki
Baada ya mwiko kuchomolewa tutaona mengi
Ndugu nasikitika umepoteza wako kumjibu.....Kwa maandishi hayo ni dhahiri sio mwanafamilia ya mpira bali ni mtu mwenye chuki na mtu......Samatta kaenda kutamba huko kongo kwao na mayele hajulikan, samatta kwenye peak yake mayele wawe wa3 nusu na robo.
Kila kitu na muda, samatta anawatoa mafua mabeki wa kongo, katumbi anamchukua kwenda tp mazembe mayele alikuwa wapi?
Ni sawa leo umuulize tressor mputu,
Samatta kafunga huko Belgium pro league mpaka akachoka, akafeli kkwenda Aston villa (hii inatokea kwenye maisha), walifeli kina di maria itakuwa samatta
Mchezaji bora wa africa.
Ni sawa na kumsema cr7 kisa tu saa hizi hana timu.
Wabongo hatupendani, ni kweli akilii ya mpira ya chama inaweza kuwa kubwa kuzidi hata grealish, ila hilo halifanyi samatta aonekane hajui mpira.