Ameoa mkewe kamkataza kuimba
Hapana siyo...Ameoa mkewe kamkataza kuimba
Kawa nini? Aiseee basi usimalizie kusema!!!!Hapana siyo...
Anashinda Samaki Samaki Spot, Kihonda nasikia kawa ..........
Kawa anapumuliwa pumuuuKawa nini? Aiseee basi usimalizie kusema!!!!
yupo simba pale anadakaYule msanii aliekuwa anaitwa Samir amepotelea wapi? alie hit na kinyulinyuli pamoja na nitamchezea aliemshirikisha ney wa mitego?