Pre GE2025 Hivi sasa kuna mwanaccm yeyote anayehofiwa kuwa akihamia upinzani ataiyumbisha CCM?

Pre GE2025 Hivi sasa kuna mwanaccm yeyote anayehofiwa kuwa akihamia upinzani ataiyumbisha CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Miaka ya nyuma kulikuwa na wanaccm ambao walikuwa na ushawishi mkubwa ndani na nje ya ccm. Walikuwa ni jeshi la mtu mmoja.

Walikuwa wakitishia kuhamia upinzani ccm wanatetemeka. Mfano Lowasa (rip), Sitta (rip), Nchimbi, mzee Malechela n.k.

Lkn zama zao zimekwisha, wamebaki stori tu. Mzee Malechela ni jua la jioni na Nchimbi hana jipya tena. Alipopeelekwa ubalozi kwa miaka kadhaa, nguvu na ushawishi wake vikapotea kabisa.

Kwa hivi sasa kuna mwanaccm gani ambaye anaweza kuitikisa ccm endapo atatishia kuhamia upinzani?
 
Kikwete alisema hamuoni mwanasiasa maarufu zaidi ya Samia ndani na nje ya chama.
 
Miaka ya nyuma kulikuwa na wanaccm ambao walikuwa na ushawishi mkubwa ndani na nje ya ccm. Walikuwa ni jeshi la mtu mmoja.

Walikuwa wakitishia kuhamia upinzani ccm wanatetemeka. Mfano Lowasa (rip), Sitta (rip), Nchimbi, mzee Malechela n.k.

Lkn zama zao zimekwisha, wamebaki stori tu. Mzee Malechela ni jua la jioni na Nchimbi hana jipya tena. Alipopeelekwa ubalozi kwa miaka kadhaa, nguvu na ushawishi wake vikapotea kabisa.

Kwa hivi sasa kuna mwanaccm gani ambaye anaweza kuitikisa ccm endapo atatishia kuhamia upinzani?
Hakuna
 
Back
Top Bottom