Hivi Sativa ni muhanga wa siasa zake au kamari zake?

Hivi Sativa ni muhanga wa siasa zake au kamari zake?

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
5,566
Reaction score
5,477
Baada ya kuibuka Sakata la SATIVA (ambaye huko X anakwenda kwa @Sativa255), nimejikuta napata hamu ya kumjua zaidi muhusika na harakati zake, kikubwa nilichokiona baada ya kutembelea profile yake ya X ni kwamba, Pamoja na posts zake chache kuwa za kisiasa, zisizo na impact ya kuvutia macho ya wasiojulikana, muda mwingi anakuwa akijishugulisha kama 'agent' wa makampuni fulani ya kubeti na anapambana vilivyo kuchafua makampuni aliyojiweka nayo uhasimu, yanayojihusisha na kubeti pia!

Ninachoogopa hapa ni viashiria kuwa 'mafioso' wa Bongo sasa wamekuwa na mkono mrefu unaowahusisha mpaka baadhi ya viongozi wetu wasio waadilifu na baadhi ya askari wetu walio kwenye 'payroll' ya MAFIA wa BONGO!

Wenye muda na mabando naomba mumtembelee @Sativa255 huko X mjionee maisha anayoishi na maadui anaojiundia kila siku!

Soma===>> Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa
 
... coppers under the mafioso, and some politicians, PAYROLL!
MAFIA hutumika sana na kushirikiana kwa karibu sana na wanasiasa, wanasheria na vyombo vya dola!
Sativa: Watesaji walikuwa wakirudia kumuuliza nini Hasa amewafanyia viongozi wakubwa Hadi wamlete pale ateswe!!

Fafanua Hilo pia!!
 
Using TISS, TANPOL and an enormous amount of state resources, in trying to kill a deranged and a misguided youth like SATIVA, who has nothing but linear influence within the society proves beyond reasonable doubt that Tanzania is a failed state.

If any diligent person visiting SATIVA's page the first things he would notice is that, a kid is gambling addict, and a maniac with a psychological disorder called Diminished Danger.

Poor kid needed psychiatric attention, not a gun barrel.​
 
Sativa: Watesaji walikuwa wakirudia kumuuliza nini Hasa amewafanyia viongozi wakubwa Hadi wamlete pale ateswe!!

Fafanua Hilo pia!!
... ulitaka wamuulize kwanini anawaharibia biashara zao za kubeti?
... kesi nyingi Bongo huwa hazifumbuliwi au husababisha hukumu kwa wasiohusika kwa kuwa na 'DETECTIVES' kama wewe ambao hamuziangalii kesi kutoka pande tofautitofauti!
😅
 
Using TISS, TANPOL and an enormous amount of state resources, to try and kill a deranged and a misguided youth like SATIVA, who is has nothing but linear and influence within the society proves beyond reasonable doubt that Tanzania is a failed state.

If any diligent person visits SATIVA's page the first things he would notice is that, a kid is gambling addict, and a maniac who needs psychiatric attention.​
... some stupid, sadistic, politician is using some few corrupt cops to stir the pot Joe!
😅
 
... ulitaka wamuulize kwanini anawaharibia biashara zao za kubeti?
... kesi nyingi Bongo huwa hazifumbuliwi au husababisha hukumu kwa wasiohusika kwa kuwa na 'DETECTIVES' kama wewe ambao hamuziangalii kesi kutoka pande tofautitofauti!
😅
Unajaribu kumpiga chenga ya MWILI Ricardo Cavallho, hufiki mbali mpira lazima ubaki!!
 
Watu wa kamari huwa na tabia ya kuuwana pale wanapodhulumiana. Mimi pia nilisikia alikuwa anachukua wake za watu anazini nao
 
Watu wa kamari huwa na tabia ya kuuwana pale wanapodhulumiana. Mimi pia nilisikia alikuwa anachukua wake za watu anazini nao
Ila kumsafirisha mtu 1000 kms far, with private car is too much!! Bora wasakwe wajulikane Nia yao
 
Back
Top Bottom