Hivi Serikali haioni aibu kusema uongo kuhusu Fedha za Tozo kwa mgongo wa Vituo vya Afya?

Hivi Serikali haioni aibu kusema uongo kuhusu Fedha za Tozo kwa mgongo wa Vituo vya Afya?

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Vituo vya afya vyote vilivyotajwa vimejengwa na serikali ya awamu ya tano awamu ya sita imejenga vyoo nchi nzima kwa mkopo wa Tsh. trion 1.3 ambazo ni fedha za UVIKO.

Hivi kwanini serikali inatuona wananchi kama hatuna akili? Mikopo mingi mama amechukua lakini hatujaona impact yake pesa kiduchu tu ndiyo zilizosaini mradi wa SGR kipande cha Isaka to Tabora.

Mama tunaomba wasimamie vijana wako wanakukwamisha, wengi wameshaona kama upo kama kivuli.
 
Matatizo yoote haya yanakuja kwa kumuita Rais Mama.

Rais ni Rais jamani.
 
Back
Top Bottom