Hivi serikali haiwezi kubadilisha mtaala tukatumia wa Cambridge international?

Hivi serikali haiwezi kubadilisha mtaala tukatumia wa Cambridge international?

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Yahoo!
Imeshathibitika pasi na shaka kuwa huu mtaala wa elimu aliotuachia mkoloni hauna manufaa yoyote kwa mtu mweusi, unazalisha wajinga na waoga na masikini wa fikra.
Ni heri mtu asisome (aishie darasa la 3 tu ajue kusoma na kuandika) kuliko hawa wanaomaliza mpaka degree na wengine masters na wengine maprofessa kabisa lakini ukisikiliza maneno yao/matendo yao utagundua kichwani kuna maharage tu.

Kuliko kuweka michakato (itakayochukua fedha na miaka mingi )ya kutengeneza mtaala mpya ambao utatengenezwa na hawa hawa watu wenye hizi akili za maharage, je kwanini serikali isikopi mtaala wa international na kuuweka kwenye shule zote?

Kuliko kukaa kukariri Vasco da gama alipenda kuvaa nguo gani, kwanini tusiende practical zaidi kama South Korea au China?
Kwanini tusikopi hiyo mitaala?
Na kama mkisema tatizo ni gharama, je hizi hela tunazopoteza kujenga mashule yenye madirisha ya vioo na viyoyozi ili kuendelea kutaga mbumbumbu kwa quantity kubwa ambao kiupeo hawazidiani na std7 failure, kwanini hiyo investment tusiitumie kutengeneza Quality zaidi hata kama tutapata wasomi wachache?

Baada ya kupita sana mitandao na page za kibongo (FB, Insta, JF, twitter Nk.) Na nilipocompare mijadala ya page za wazungu (Quora, Twitter, Youtube nk.) Nimegundua asilimia kubwa ya wabongo wana upeo mdogo sana wa kufikiri.

Yani unaweza kukuta jamaa anajinadi ana degree lakini uwezo wa kujadili hoja anazidiwa na mzungu ambaye aliishia high school tu. Kubishana na wabongo ni frustrating sana maana wengi wana ujuaji mwingi kwenye hamna, Yani mtu hajui na hajui kama hajui na hataki kujua.

Hii mentality ya hivi ndio imetufikisha hapa, miaka 60 ya uhuru bado sehemu kubwa ya nchi hakuna huduma za kibinadamu kama hosputali, maji, umeme nk.
 
Limeonesha unavyopenda kukopi vya wengine
Mtaala wa sasa ni copy and paste ya mkoloni ambayo hata yeye aliacha kuitumia miaka mingi sana iliyopita, kuanzia katiba na jinsi tunavyoendesha serikali, tunavyosali, mahakama, polisi etc kila kitu tumecopy
 
Mtaala wa sasa ni copy and paste ya mkoloni ambayo hata yeye aliacha kuitumia miaka mingi sana iliyopita, kuanzia katiba na jinsi tunavyoendesha serikali, tunavyosali, mahakama, polisi etc kila kitu tumecopy
Sasa tumekopi vitu walivyotumia kututawala na kutudidimiza, kwanini tusiachane navyo na kukopi vitu bora zaidi?
 
Wachina waliamua kukopi na kupaste wazungu maswala yote ya teknolojia, unaona walipo sasa?
Hivi kisheria, private school Tanzania zinaruhusiwa kuchagua mtaala wa kufundishia kama Cambridge au lazima wafuate mitaala ya wizara ya elimu (serikali)?
 
Yahoo!
Imeshathibitika pasi na shaka kuwa huu mtaala wa elimu aliotuachia mkoloni hauna manufaa yoyote kwa mtu mweusi, unazalisha wajinga na waoga na masikini wa fikra.
Ni heri mtu asisome (aishie darasa la 3 tu ajue kusoma na kuandika) kuliko hawa wanaomaliza mpaka degree na wengine masters na wengine maprofessa kabisa lakini ukisikiliza maneno yao/matendo yao utagundua kichwani kuna maharage tu.

Kuliko kuweka michakato (itakayochukua fedha na miaka mingi )ya kutengeneza mtaala mpya ambao utatengenezwa na hawa hawa watu wenye hizi akili za maharage, je kwanini serikali isikopi mtaala wa international na kuuweka kwenye shule zote?

Kuliko kukaa kukariri Vasco da gama alipenda kuvaa nguo gani, kwanini tusiende practical zaidi kama South Korea au China?
Kwanini tusikopi hiyo mitaala?
Na kama mkisema tatizo ni gharama, je hizi hela tunazopoteza kujenga mashule yenye madirisha ya vioo na viyoyozi ili kuendelea kutaga mbumbumbu kwa quantity kubwa ambao kiupeo hawazidiani na std7 failure, kwanini hiyo investment tusiitumie kutengeneza Quality zaidi hata kama tutapata wasomi wachache?

Baada ya kupita sana mitandao na page za kibongo (FB, Insta, JF, twitter Nk.) Na nilipocompare mijadala ya page za wazungu (Quora, Twitter, Youtube nk.) Nimegundua asilimia kubwa ya wabongo wana upeo mdogo sana wa kufikiri.

Yani unaweza kukuta jamaa anajinadi ana degree lakini uwezo wa kujadili hoja anazidiwa na mzungu ambaye aliishia high school tu. Kubishana na wabongo ni frustrating sana maana wengi wana ujuaji mwingi kwenye hamna, Yani mtu hajui na hajui kama hajui na hataki kujua.

Hii mentality ya hivi ndio imetufikisha hapa, miaka 60 ya uhuru bado sehemu kubwa ya nchi hakuna huduma za kibinadamu kama hosputali, maji, umeme nk.
Je tunaweza kuona huo mtaala wa Cambridge hata kidogo tu?
 
Kwenye mtaala wa Cambridge kuna suala la types of families...mpo tayari kuupokea ?🐒
 
Hivi kisheria, private school Tanzania zinaruhusiwa kuchagua mtaala wa kufundishia kama Cambridge au lazima wafuate mitaala ya wizara ya elimu (serikali)?
Sina uhakika sana, lakini nadhani unaweza kuchagua unataka shule yako iweje.
ila ikiwa international inabidi uwe umejipanga sana na mtaji mrefu maana kushawishi watu walipe mil 17 ada ya primary sio kitoto.
Na ukisema uweke international ya ada ndogo kwaajili ya walalahoi nadhani kwasababu mindset ya walalahoi wengi ni kusoma ili mtoto afike chuo apate mkopo itakuwa ngumu kupata wateja.
Watu wengi wanaosomesha international mindset yao ni mtoto chuo akasomee mambele.
 
Kwenye mtaala wa Cambridge kuna suala la types of families...mpo tayari kuupokea ?🐒
Sio lazima kuukopi mpaka t na i.
Kama kuna vitu tutaona haviendani, tunaweza kuvitwitch kidogo tu ila tusipoteze lengo kuu
 
uzi mzuri.. ila tatizo mtoa mada umeujaza uzi na blaah blaah nyingi ukilaumu kuwa wabongo hawawezi kujenga hoja..

kwa hiyo tuseme namna bora ya kujenga hoja ni kama ulivyo onesha kwenye huu uzi... ??
 
uzi mzuri.. ila tatizo mtoa mada umeujaza uzi na blaah blaah nyingi ukilaumu kuwa wabongo hawawezi kujenga hoja..

kwa hiyo tuseme namna bora ya kujenga hoja ni kama ulivyo onesha kwenye huu uzi... ??
Mimi mwenyewe ni mbongo, kwahyo nmeonyesha jinsi mtaala wa Necta ulivyoniathiri
 
Back
Top Bottom