Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Dah!
Kuna habari nimeiona BBC inaongelea kuhusu uhitaji wa bangi kwenye nchi za wenzetu kwa matumizi ya dawa nikahuzunika!
Watu wanaohitaji hii kitu ni wengi, Demand ni kubwa kuliko supply na hela wanatoa kupata kimsokoto ni kubwa sana. Which is a benefit for the farmers! Kwanini hatuioni hii kama fursa?
Kuna watu wanateseka na dawa tunayo. Ajabu ni kuwa, askari wetu, kila iitwayo leo wanaiteketeza bila kujali.
Ripoti mbali mbali zinaonyesha mmea huu (marijuana) hauna madhara yeyote kwa mtumiaji KAMA hatochanganya na vileo vingine na unaweza kutumika kama dawa!
Kinachonishangaza serikali yetu, Tanzania, imekomaa na msimamo wa kuwa bangi ina madhara! Madhara yapi ikilimwa kwaajili ya matumizi ya kibiashara?? Italeta Mapato lakini pia ajira. Madhara yapo wapi hapo?
Nimeona wabunge wawili wakipigania ihalalishwe ila serikali ikakataa. Last time, it was afande. Shida ni kwamba alisema point nzuri ila aliiua kwa maelezo yake.
Kuuliza sio ujinga. Naomba kujua kama haiwezekani kukawa na utaratibu f'lani - Wakahalalisha kulima huu mmea kwa ajili ya biashara baadala ya matumizi ya kivuta kwa nchi yetu, Yaani watu wakalima tu kwaajili ya exportation tu!
Najua kutakuwa na wabishi wachache, maana mTanzania ukimwonjesha asali kwa kumruhusu alambe mkono wako, anaweza kuukata akakimbia. Lakini binafsi, naona faida zitakuwa nyingi kuliko hasara, au?
Kuna habari nimeiona BBC inaongelea kuhusu uhitaji wa bangi kwenye nchi za wenzetu kwa matumizi ya dawa nikahuzunika!
Watu wanaohitaji hii kitu ni wengi, Demand ni kubwa kuliko supply na hela wanatoa kupata kimsokoto ni kubwa sana. Which is a benefit for the farmers! Kwanini hatuioni hii kama fursa?
Kuna watu wanateseka na dawa tunayo. Ajabu ni kuwa, askari wetu, kila iitwayo leo wanaiteketeza bila kujali.
Ripoti mbali mbali zinaonyesha mmea huu (marijuana) hauna madhara yeyote kwa mtumiaji KAMA hatochanganya na vileo vingine na unaweza kutumika kama dawa!
Kinachonishangaza serikali yetu, Tanzania, imekomaa na msimamo wa kuwa bangi ina madhara! Madhara yapi ikilimwa kwaajili ya matumizi ya kibiashara?? Italeta Mapato lakini pia ajira. Madhara yapo wapi hapo?
Nimeona wabunge wawili wakipigania ihalalishwe ila serikali ikakataa. Last time, it was afande. Shida ni kwamba alisema point nzuri ila aliiua kwa maelezo yake.
Kuuliza sio ujinga. Naomba kujua kama haiwezekani kukawa na utaratibu f'lani - Wakahalalisha kulima huu mmea kwa ajili ya biashara baadala ya matumizi ya kivuta kwa nchi yetu, Yaani watu wakalima tu kwaajili ya exportation tu!
Najua kutakuwa na wabishi wachache, maana mTanzania ukimwonjesha asali kwa kumruhusu alambe mkono wako, anaweza kuukata akakimbia. Lakini binafsi, naona faida zitakuwa nyingi kuliko hasara, au?