Hivi serikali imejipangaje kukabiliana na uwezekano wa kutokea uhaba wa mafuta mkubwa duniani kutokana na mzozo unaoendelea katika ghuba ya Uajemi?

Hivi serikali imejipangaje kukabiliana na uwezekano wa kutokea uhaba wa mafuta mkubwa duniani kutokana na mzozo unaoendelea katika ghuba ya Uajemi?

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Iran

Tovuti kubwa ya habari duniani Reuters imeripoti kuwa "Nchi zinazopatikana katika ghuba ya Uajemi (Persian Ghulf states) zitakazo saidiana na Israel kuishambulia Iran katika visima vyake mafuta (oil facilities) , hazitabaki salama. Iran itajibu mapigo kwa kuangamiza oil facilities zote zilizopo katika mataifa hayo".

Persian Gulf States ni pamoja na Saudi Arabia, Kuwait, Bahrain, Qatar, UAE, Oman.

IMG_20241011_083234.jpg

Kutokana na kauli hizo kinzani na nzito hapo ☝☝juu zilizotolewa na viongozi wa serikali ya Israel na Iran, Je, Tanzania tena kama moja ya nchi maskini duniani, ambayo asilimia 100% ya mafuta yake inanunua kutoka nchi za mashariki ya kati, endapo hawa mahasimu wakaamua kutwangana na kuopelekea kuharibika kwa mnyororo wa ughavi wa mafuta (supply chain disruption)

1) serikali ina alternative strategy ya nchi mbadala wa kununua mafuta?

2) imetenga fungu la ziada kukabiliana na mfumuko wa bei ya bidhaa hiyo?

3) ni mikakati gani imejiwekea kuhakikisha itakabiliana na mfumuko wa bei na anguko la kiuchumi?
3) nk, nk.. (ongezea wewe)

Maswali haya naomba serikali ya ccm ituambie sisi wananchi ili tusije kuja pigwa na kitu kizito utosini kwa mshtukizo.
 
Iran

Tovuti kubwa ya habari duniani Reuters imeripoti kuwa "Nchi zinazopatikana katika ghuba ya Uajemi (Persian Ghulf states) zitakazo saidiana na Israel kuishambulia Iran katika visima vyake mafuta (oil facilities) , hazitabaki salama. Iran itajibu mapigo kwa kuangamiza oil facilities zote zilizopo katika mataifa hayo".

Persian Gulf States ni pamoja na Saudi Arabia, Kuwait, Bahrain, Qatar, UAE, Oman.


Kutokana na kauli hizo kinzani na nzito hapo ☝☝juu zilizotolewa na viongozi wa serikali ya Israel na Iran, Je, Tanzania tena kama moja ya nchi maskini duniani, ambayo asilimia 100% ya mafuta yake inanunua kutoka nchi za mashariki ya kati, endapo hawa mahasimu wakaamua kutwangana na kuopelekea kuharibika kwa mnyororo wa ughavi wa mafuta (supply chain disruption)

1) serikali ina alternative strategy ya nchi mbadala wa kununua mafuta?

2) imetenga fungu la ziada kukabiliana na mfumuko wa bei ya bidhaa hiyo?

3) ni mikakati gani imejiwekea kuhakikisha itakabiliana na mfumuko wa bei na anguko la kiuchumi?
3) nk, nk.. (ongezea wewe)

Maswali haya naomba serikali ya ccm ituambie sisi wananchi ili tusije kuja pigwa na kitu kizito utosini kwa mshtukizo.
Jitihada kubwa sana ya Tanzania iliyoko mezani hivi sasa ni kuhakikisha tension ya kivita iliyoko Mashariki ya Kati hususani baina ya Iran dhidi ya Israel inakua settled peaceful. That is the position of Tanzania government at a moment.

Jitihada kubwa na tahadhari nyingine muhimu zilishachukuliwa mapema tangu vita ya Ukraine na Russia kutokea. Jitihada za ziada zinaendelea kuchukuliwa, na ndiyo maana unamuona Dr Tulia yupo huko duniani Lakini pia waziri wa mambo ya nnje nae yuko kwingineko duniani n.k.

Kifupi kama Taifa tumejipanga vizuri na tupo vizuri sana kukabiliana na athari za vita au mabadliko ya tabia ya nchi yanayoweza kuathiri au kuchochea uhaba au mfumuko wa bei za vyakula na bidhaa nyingine mbalimbali muhimu kwa waTanzania 🐒
 
Back
Top Bottom