Naomba kuuliza hivi serikali inampango gani na kuwapandisha madaraja walimu kwani ni miaka sasa inakata bado madaraja yame-stagnate palepel....Mfano mwalimu aliepandishwa daraja akaingia D1 miaka zaidi ya mitano na bado salary slip yake ipo D1 hivi apa sheria ya kazi inasemaje maana haki na stahili za mfanyakazi zinafinyangwa kimakusudi....nawakilisha!