unapataje postgraduate diploma wakati wewe sio graduate? graduate anaajiriwa moja kwa moja, hii ina maana mtu akienda kusoma postgraduate anakua anatokea kazini, sasa hiyo ya kwako ikoje?
unapataje postgraduate diploma wakati wewe sio graduate? graduate anaajiriwa moja kwa moja, hii ina maana mtu akienda kusoma postgraduate anakua anatokea kazini, sasa hiyo ya kwako ikoje?
Mkuu wapo wengine wana shahada ya sociology sasa baade anaamua apige postgraduate ya Education, nadhani ndo hvyo mleta mada anauliza kwa jinsi nilivyomuelewa,
Mkuu wapo wengine wana shahada ya sociology sasa baade anaamua apige postgraduate ya Education, nadhani ndo hvyo mleta mada anauliza kwa jinsi nilivyomuelewa,
unapataje postgraduate diploma wakati wewe sio graduate? graduate anaajiriwa moja kwa moja, hii ina maana mtu akienda kusoma postgraduate anakua anatokea kazini, sasa hiyo ya kwako ikoje?