Hivi serikali inalichukuliaje swala la utapeli kwa njia ya simu? "Ile hela tuma kwenye namba hii", au imeridhika, imewashindwa? Watu wanatapeliwa

Hivi serikali inalichukuliaje swala la utapeli kwa njia ya simu? "Ile hela tuma kwenye namba hii", au imeridhika, imewashindwa? Watu wanatapeliwa

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini huko watu hawaelewi chochote,

Kwanini serikali isitafute namna ya kushughulika na hao matapeli, ina maana kwamba serikali imeishiwa mbinu kabisa za kuzuia au kukabiliana na hao matapeli hadi imemua kunyoosha mikono dhidi yao? Hapa serikali na mamlaka za mawasiliano wanahusika kuwalea hawa wezi.
 
Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini huko watu hawaelewi chochote,

Kwanini serikali isitafute namna ya kushughulika na hao matapeli, ina maana kwamba serikali imeishiwa mbinu kabisa za kuzuia au kukabiliana na hao matapeli hadi imemua kunyoosha mikono dhidi yao? Hapa serikali na mamlaka za mawasiliano wanahusika kuwalea hawa wezi.
Wanajuana, nimeripoti hizi no, nimegundua napoteza muda wangu bure, namba zile zile zinatuma tena , nimeziweka nimezi zuia kwa simu yangu hivyo nazitambua zikituma sms....
 
Back
Top Bottom