Hivi Serikali yetu ipo serious kupambana na ugonjwa wa Delta (Indian variant)yaani corona 3?
Wenzetu,ndugu zetu Waganda,DRC,Rwanda Serikali zao zimechukua hatua kali na madhubuti kukabiliana na huu ugonjwa hatari.
SINA HAJA YA KUANDIKA MENGI,WENZETU WAAFRIKA WANATEKETEA HASA UGANDA NA WANAISHI NA KUABUDU KATIKA SAYARI HII HII TULIYOMO SIE WATANZANIA.
Baadhi ya mifano ya kuzembea inayofanywa na serikali kwa uchungu nadiriki kutaja baadhi .
1)Kuruhusu watazamaji elfu 60 kuingia kesho kuangalia mechi kati ya Simba na Yanga.mkusanyiko huu ni mkubwa sana ambao unaweza kutuletea madhara makubwa.
2)Kuruhusu abiria kujazana kwenye Daladala.
3)Kutangaza mitandaoni,magazetini,redioni,Kwenye televisheni namna ya kujikinga na ugonjwa huu.
4)Kupiga marufuku mikusanyiko yote ya watu zikiwemo sehemu za ibada za dini zote.
ATHARI ZA UGONJWA HUU ZIKIANZA KUSAMBAA NA KULETA MADHARA, HAWAHAWA WENYE TAMAA YA KUINGIZA MAPATO WATAKUA WA KWANZA KUISHUTUMU SERIKALI YAO.TUJIKINGE SASA.
Mwisho kama Watanzania tutambue kuwa wenzetu hawakuomba kuteseka ila ni kudra ya MOLA,Na sisi tuzidi kuomba huku TUKIJIKINGA.SERIKALI IWEKE ADHABU KALI KWA WANAOKIUKA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA WATAALAM WETU.IMEZOELEKA TANGIA AWAMU YA 5 MPAKA RAIS AU WAZIRI MKUU ATANGAZE LAKINI AKITANGAZA MTAALAAM AU WAZIRI TUNADHARAU.
TIME WILL TELL.
Wenzetu,ndugu zetu Waganda,DRC,Rwanda Serikali zao zimechukua hatua kali na madhubuti kukabiliana na huu ugonjwa hatari.
SINA HAJA YA KUANDIKA MENGI,WENZETU WAAFRIKA WANATEKETEA HASA UGANDA NA WANAISHI NA KUABUDU KATIKA SAYARI HII HII TULIYOMO SIE WATANZANIA.
Baadhi ya mifano ya kuzembea inayofanywa na serikali kwa uchungu nadiriki kutaja baadhi .
1)Kuruhusu watazamaji elfu 60 kuingia kesho kuangalia mechi kati ya Simba na Yanga.mkusanyiko huu ni mkubwa sana ambao unaweza kutuletea madhara makubwa.
2)Kuruhusu abiria kujazana kwenye Daladala.
3)Kutangaza mitandaoni,magazetini,redioni,Kwenye televisheni namna ya kujikinga na ugonjwa huu.
4)Kupiga marufuku mikusanyiko yote ya watu zikiwemo sehemu za ibada za dini zote.
ATHARI ZA UGONJWA HUU ZIKIANZA KUSAMBAA NA KULETA MADHARA, HAWAHAWA WENYE TAMAA YA KUINGIZA MAPATO WATAKUA WA KWANZA KUISHUTUMU SERIKALI YAO.TUJIKINGE SASA.
Mwisho kama Watanzania tutambue kuwa wenzetu hawakuomba kuteseka ila ni kudra ya MOLA,Na sisi tuzidi kuomba huku TUKIJIKINGA.SERIKALI IWEKE ADHABU KALI KWA WANAOKIUKA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA WATAALAM WETU.IMEZOELEKA TANGIA AWAMU YA 5 MPAKA RAIS AU WAZIRI MKUU ATANGAZE LAKINI AKITANGAZA MTAALAAM AU WAZIRI TUNADHARAU.
TIME WILL TELL.