Hivi Serikali itatoa ajira kwa usawa?

Hivi Serikali itatoa ajira kwa usawa?

Teleza1

Senior Member
Joined
May 16, 2020
Posts
190
Reaction score
198
Jamani wanajamvi,

Nilikuwa nauliza tu ni lini serikali itatoa ajira za waalimu maanake zile 5000 zimetolewa kwa connection na rushwa nyingi. Lkn tumaini langu ni kuanzishwa kwa somo la historia nina imani wengi tutaajiriwa.

Viongozi wetu waache kutuona sisi kama mazombi, nasi tuna haki ya kuishi kama wenyewe.
 
Tunapo elekea mfumo wa ajira unaenda kupotea kabisa.

Hata watakaokuwa wanaajiriwa ni watoto wa vigogo, juu kwa juu wanapeana vitengo.

Nchi imeshauzwa tayari.
 
Nilishangaa sana na kusikitika kwa pamoja pale ambapo kasim majaliwa alisema eti zile ajira 5000 zilishatolewa tayari na watu wanaendelea kuripoti.
 
Tanzania ya Sasa so Kama ya zamani.Acha tuisome namba tu kitaaa Mana hizi ajira za matamko tushazichoka.🥱🥱Tulichobaki nacho Sasa Ni tiba za kinjekitile gware [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilishangaa sana na kusikitika kwa pamoja pale ambapo kasim majaliwa alisema eti zile ajira 5000 zilishatolewa tayari na watu wanaendelea kuripoti.
Tutaona mengi awamu hii!ety wa2 wanasubilia ajira za awamu ya pili,Kumbe wamagogoni wanapitia mlango wanyuma nakugawiana wiki kadhaa zilizopita, watoto wa mama ntilie na wasaka tonge wenyewe wakisisitizwa kujifukiza na kusubilia ajira.Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wasaka tonge wote tuweze kupata izo ajira ,isije kua tunaishi kwa Imani mpaka yesu atakaporudi
 
Back
Top Bottom