Naona watu wanahofu na serikali tatu mimi sijajiuliza sana kuhusu hilo lakini kwa nini Jaji Warioba hakupendekeza serikali moja chini ya Utawala wa Majimbo?? Zanzibar tuwe na majimbo mawili Pemba na Unguja na Bara yawepo kama nane hivi. Nafikiri kwa hiyo Muungano utakuwa imara zaidi na wa gharama nafuu usio na manung'uniko. Maoni yangu tu jamani maana tushaoleana ati sie ndugu kabisa.