Mtanke mimi nakuunga mkono na wengine walipendekeza hivyo. Lakini kama unavyojua Wazanzibari hawatakubali kwa sababu wanafikiri kuwa wanamezwa na kwao ni tusi kulinganishwa na jimbo. Kwa maoni yangu wote Zanzibar na Tanganyika walishamezana. Pendekezo ili lingesaidia sana kutuondolea migogoro isiyo ya lazima, ingesaidia kutuunganisha pamoja kama taifa, lakini pia ingekuwa njia mbora ya kusimamia raslimali zetu.